Back to Top Down To Bottom

Mathias Walichupa - Mungu Wa Namna Hii Lyrics



Mathias Walichupa - Mungu Wa Namna Hii Lyrics




Mmhmmm, eeeh
Wanilinda usiku na mchana
Waniepusha na mitego ya mwovu
Dhamana ya maisha yangu
Imikononi mwako, mwako
Fadhili zako hazihesabiki
Na upendo wako hauna mipaka
Macho bado hayajaona, mwingine
Wakulinganishwa na wewe MUNGU

Mwenye upendo namna hii (ai-yeh-yeh)
Mwenye upendo namna hii (Mi sijamwona)
MUNGU wa namna hii, wa namna hii (Ooh-oo)
Mimi sijamwona (mi sijamwona)
Sijamwona

Mwenye upendo namna hii (ah-oye-oye-oye)
Mwenye upendo namna hii (iih)
MUNGU wa namna hii (wa namna hii)
Wa namna hii (Ooh)
Mimi sijamwona (mi sijamwona)
Sijamwona (aiyeiyee)

Oooh, oooeeh
Mimi sijamwona

Yuko na mimi (Ouh-yeh-yeh)
Amenizingira (Ouh-yeh-yeh)
Pande zote, I'm highly protected
Sina mashaka, yuko ndani yangu
Huyu YESU, huyu YESU

Wewe ni njia, ya kweli na uzima
Glorious GOD and beautiful KING
Macho bado hayajaona, mwingine
Wakulinganishwa na wewe MUNGU

Mwenye upendo namna hii (Sijamwona, ai-yeh-yeh)
Mwenye upendo namna hii (Mi sijamwona)
MUNGU wa namna hii (hayupo)
Wa namna hii (Ooh-oo)
Mimi sijamwona (mi sijamwona)
Sijamwona (kama yeye)

Mwenye upendo namna hii (Sijamwona, ah)
Mwenye upendo namna hii (iih)
MUNGU wa namna hii (wa namna hii)
Wa namna hii (Ooh)
Mimi sijamwona (mi sijamwona)
Sijamwona
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


Swahili

Mmhmmm, eeeh
Wanilinda usiku na mchana
Waniepusha na mitego ya mwovu
Dhamana ya maisha yangu
Imikononi mwako, mwako
Fadhili zako hazihesabiki
Na upendo wako hauna mipaka
Macho bado hayajaona, mwingine
Wakulinganishwa na wewe MUNGU

Mwenye upendo namna hii (ai-yeh-yeh)
Mwenye upendo namna hii (Mi sijamwona)
MUNGU wa namna hii, wa namna hii (Ooh-oo)
Mimi sijamwona (mi sijamwona)
Sijamwona

Mwenye upendo namna hii (ah-oye-oye-oye)
Mwenye upendo namna hii (iih)
MUNGU wa namna hii (wa namna hii)
Wa namna hii (Ooh)
Mimi sijamwona (mi sijamwona)
Sijamwona (aiyeiyee)

Oooh, oooeeh
Mimi sijamwona

Yuko na mimi (Ouh-yeh-yeh)
Amenizingira (Ouh-yeh-yeh)
Pande zote, I'm highly protected
Sina mashaka, yuko ndani yangu
Huyu YESU, huyu YESU

Wewe ni njia, ya kweli na uzima
Glorious GOD and beautiful KING
Macho bado hayajaona, mwingine
Wakulinganishwa na wewe MUNGU

Mwenye upendo namna hii (Sijamwona, ai-yeh-yeh)
Mwenye upendo namna hii (Mi sijamwona)
MUNGU wa namna hii (hayupo)
Wa namna hii (Ooh-oo)
Mimi sijamwona (mi sijamwona)
Sijamwona (kama yeye)

Mwenye upendo namna hii (Sijamwona, ah)
Mwenye upendo namna hii (iih)
MUNGU wa namna hii (wa namna hii)
Wa namna hii (Ooh)
Mimi sijamwona (mi sijamwona)
Sijamwona
[ Correct these Lyrics ]
Writer:
Copyright: Lyrics © TuneCore Inc., Sentric Music
LyricFind





Performed By: Mathias Walichupa
Language: Swahili
Length: 3:32
[Correct Info]
Tags:
No tags yet