Back to Top Down To Bottom

Jay Melody - Sio Sawa Lyrics



Jay Melody - Sio Sawa Lyrics




Mpaka sasa moto ushawaka
Mambo anayofanya sa anavuka mipaka,
Vitu anavyotaka mwenzenu nadata,
Tena anasema eti hawezi kuniacha.
Mashaka usaliti sasa,
Mimi na mwanangu yani ni kama mapacha
Shem lake sasa kitu wali papa
Anazima taa ili niweze kuuchapa

Ndo hivyo yani ndo hivyo
Shem lake anataka tu show
Ndo hivyo jama ndo hivyo
Ndo hivyo yeh

Ila kibaya zaidi ye anavutia
Nasindwa kuzikataa raha za dunia
Huku tunapoenda jamani sio sawa
Sio sawa ye, ye ye yeye

Tena akinimiss ananipatia
Msisimko wa mwili unaniingia
Huku tunapoenda jamani sio sawa
Sio sawa ye, ye ye ye ye

Aah shemeji eeh (shemeji eeh)
Kiukweli ana mambo mengi
Mwenzenu nta dead eeh (nta dead eeh)
Anavyonipa vya bara na zenji

Ah mziki TOT na uwanja kochi
Ana enjoy sana mpaka napiga makofi
Kama siogopi huu ukorofi kafunga milango kwa maana siondoki

Ah TOT na uwanja kochi
Ana enjoy sana mpaka napiga makofi
Kama siogopi huu ukorofi kafunga milango kwa maana siondoki

Ndo hivyo yani ndo hivyo
Shem lake anataka tu show
Ndo hivyo jama ndo hivyo
Ndo hivyo yeh

Ila kibaya zaidi ye anavutia
Nasindwa kuzikataa raha za dunia
Huku tunapoenda jamani sio sawa
Sio sawa ye, ye ye yeye

Tena akinimiss ananipatia
Msisimko wa mwili unaniingia
Huku tunapoenda jamani sio sawa
Sio sawa ye, ye ye ye ye

Ulala lulu x3
Aanhaaa
Tuendeleee ama tusiendelee
(Tuendelee)
Lee ama tusiendelee (tuendelee)

Tuendelee ama tusiendelee (tuendelee)
Tuendele tuendelee (tuendelee) X2

Amigo"
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


Swahili

Mpaka sasa moto ushawaka
Mambo anayofanya sa anavuka mipaka,
Vitu anavyotaka mwenzenu nadata,
Tena anasema eti hawezi kuniacha.
Mashaka usaliti sasa,
Mimi na mwanangu yani ni kama mapacha
Shem lake sasa kitu wali papa
Anazima taa ili niweze kuuchapa

Ndo hivyo yani ndo hivyo
Shem lake anataka tu show
Ndo hivyo jama ndo hivyo
Ndo hivyo yeh

Ila kibaya zaidi ye anavutia
Nasindwa kuzikataa raha za dunia
Huku tunapoenda jamani sio sawa
Sio sawa ye, ye ye yeye

Tena akinimiss ananipatia
Msisimko wa mwili unaniingia
Huku tunapoenda jamani sio sawa
Sio sawa ye, ye ye ye ye

Aah shemeji eeh (shemeji eeh)
Kiukweli ana mambo mengi
Mwenzenu nta dead eeh (nta dead eeh)
Anavyonipa vya bara na zenji

Ah mziki TOT na uwanja kochi
Ana enjoy sana mpaka napiga makofi
Kama siogopi huu ukorofi kafunga milango kwa maana siondoki

Ah TOT na uwanja kochi
Ana enjoy sana mpaka napiga makofi
Kama siogopi huu ukorofi kafunga milango kwa maana siondoki

Ndo hivyo yani ndo hivyo
Shem lake anataka tu show
Ndo hivyo jama ndo hivyo
Ndo hivyo yeh

Ila kibaya zaidi ye anavutia
Nasindwa kuzikataa raha za dunia
Huku tunapoenda jamani sio sawa
Sio sawa ye, ye ye yeye

Tena akinimiss ananipatia
Msisimko wa mwili unaniingia
Huku tunapoenda jamani sio sawa
Sio sawa ye, ye ye ye ye

Ulala lulu x3
Aanhaaa
Tuendeleee ama tusiendelee
(Tuendelee)
Lee ama tusiendelee (tuendelee)

Tuendelee ama tusiendelee (tuendelee)
Tuendele tuendelee (tuendelee) X2

Amigo"
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Sharif Saidi Juma
Copyright: Lyrics © Sentric Music

Back to: Jay Melody



Jay Melody - Sio Sawa Video
(Show video at the top of the page)

Click here to scroll the video with page

Performed By: Jay Melody
Language: Swahili
Length: 3:23
Written by: Sharif Saidi Juma
[Correct Info]
Tags:
No tags yet