Back to Top Down To Bottom

Advent Gospel Messengers - Nitamuhimidi Bwana Lyrics



Advent Gospel Messengers - Nitamuhimidi Bwana Lyrics
Official




Nitamhimidi Bwana kila wakati
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Katika Bwana nafsi yangu itajisifu
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Na tumwabudu Mungu
Tuimbe sifa zake
Tumsifu kwa makubwa
Aliyoyatenda
Tujapo mbele zake
Kwa nyimbo nazo sala
Wanyenyekevu wasikie
Wakafurahi
Ningali bado hai nitamsifu
Maisha yangu yote nitamsifu
Nyakati zote za furaha na za huzuni
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Na tumwabudu Mungu
Tuimbe sifa zake
Tumsifu kwa makubwa
Aliyoyatenda
Tujapo mbele zake
Kwa nyimbo nazo sala
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Na tumwabudu Mungu
Tuimbe sifa zake
Tumsifu kwa makubwa
Aliyoyatenda
Tujapo mbele zake
Kwa nyimbo nazo sala
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


Swahili

Nitamhimidi Bwana kila wakati
Sifa zake zi kinywani mwangu daima
Katika Bwana nafsi yangu itajisifu
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Na tumwabudu Mungu
Tuimbe sifa zake
Tumsifu kwa makubwa
Aliyoyatenda
Tujapo mbele zake
Kwa nyimbo nazo sala
Wanyenyekevu wasikie
Wakafurahi
Ningali bado hai nitamsifu
Maisha yangu yote nitamsifu
Nyakati zote za furaha na za huzuni
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Na tumwabudu Mungu
Tuimbe sifa zake
Tumsifu kwa makubwa
Aliyoyatenda
Tujapo mbele zake
Kwa nyimbo nazo sala
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Na tumwabudu Mungu
Tuimbe sifa zake
Tumsifu kwa makubwa
Aliyoyatenda
Tujapo mbele zake
Kwa nyimbo nazo sala
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
Wanyenyekevu wasikie wakafurahi
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Maingu James
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid




Performed By: Advent Gospel Messengers
Language: Swahili
Length: 4:15
Written by: Maingu James
[Correct Info]
Tags:
No tags yet